Video hii inafundisha namna ya kufanya biashara ya kuuza na kununua fedha mtandaoni mwenyewe bila kumtegemea mtu
Telegram group bofya : https://t.me/RFfxAcademy
Dial : +255 766 428 640( zingatia muda nilio sema)
Whatsapp: +255 653 687158
Music credit : https://www.bensound.com
#1_ON_TRENDING
Amazon Auto Links: No products found.
kujiung na daras bei gn then uk pnd zip
Pesa zinazopatikana katika forex nazipataje kiualisia
I will find you
nahitaji mafunzo zaidi
Broker anamuhimu gani katika forex pia account ya Forex INA mausiano yoyote na account ya Benki ya kawaida
tuleteee soon part mkuu well understod
Na jiungaje na malipo yakoje
Iko poa bro Fanya ulete part 2 imeeleweka
unapatikana wapi?
io Demo account ntaipataje
Ahsante sana mkuu kwa mafunzo nitakufata hatua moja baada yanyingine unaeleweka sana
ni site gani au application gani iko advised kufanyia forex???
niunge kweny group
asante sana Evance, umeelezea vizuri sana
Good brother
umeelezea vizuri sana
Nice brother nimeielewa
cool interessant
Asye vp mbna hutoi tena videos
nataka nijue hii biashara kama una darasa lako mwalim tafadhali
Umetisha sana kaka
umeongea poa
Sante sana
Baada ya kutengeneza pesa kwenye forex nazichukuaje
Nimekuelewa bro #kingulube
nashukuru sana mkuu,nimekuelewa kwa hatua hii ya kwanza ,,, tunasubili part 2
ntakupataje mzee unipe mafunzo?
sijaielewa sana ila forex n biashara naitamani sana
Nakuelewa na nazd kukuelewa
safi sana maelezo yanaeleweka